Thursday, June 1, 2023

Tiba dawa

 *PHARMACY YA NYUMBANI*.


👉🏻Ukiwa na Acidity nyingi tumboni kula Tango

👉🏻Ukiwa na tatizo la kutopata choo kunywa mtindi

👉🏻Presha ya kupanda kula ndizi mbivu inaishusha haraka 

👉🏻Kuharisha, kunywa kahawa na tia matone kadhaa ya limao

👉🏻Mafua, chai na limao

👉🏻Misuli kukaza, parachichi kwasababu ina magnesium nyingi 

👉🏻Cholesterol kula kipande cha bilingani iliyomenywa kabla ya kulala inafanya kazi kama dawa ya livitor

👉🏻Khofu na uwoga kunywa chai kwa majani ya camomile

👉🏻Kutopata usingizi kunywa shomari inafanya kazi kama dawa za usingizi 

👉🏻Kichwa kuuma kula chembe 15 za lozi huwa ni sawa na dawa ya aspirin

👉🏻UTI chemsha maji na kotmiri unywe asubuhi na usiku kabla ya kulala muda wa wiki


 ▪️Miguu yote kwa pamoja ina 50% ya mishipa ya fahamu ya mwili wa binadamu, 50% ya mishipa ya damu na 50% ya damu inapita ndani yake.

 *Tembea*


 ▪️ Ni mtandao mkubwa wa mzunguko wa damu unaounganisha mwili.

 *Kwa hivyo tembea kila siku*


 ▪️Ni pale tu miguu inapokuwa na afya nzuri ndipo mkondo wa kawaida wa damu unatiririka, vizuri, kwa hivyo watu ambao wana misuli ya miguu yenye nguvu watakuwa na moyo dhabiti.  *Tembea*


 ▪️Uzee huanza kutoka miguu kwenda juu.

 *Tembea*


 ▪️Kadiri mtu anavyozeeka ndivyo usahihi na kasi ya upitishaji wa maelekezo kati ya ubongo na miguu hupungua tofauti na mtu anapokuwa mdogo.

 *Tafadhali Tembea*


 ▪️Aidha, kile kinachojulikana kama Kalsiamu ya Mbolea ya Mifupa itapotea haraka au baadaye baada ya muda, na kuwafanya wazee kukabiliwa na kuvunjika kwa mifupa.

 *TEMBEA*


 ▪️Kuvunjika kwa mifupa kwa wazee kunaweza kusababisha matatizo kwa urahisi, hasa magonjwa hatari kama vile thrombosis ya ubongo.

 *Tembea*


 ▪️Je, unajua kwamba 15% ya wagonjwa wazee kwa ujumla, watakufa max.  ndani ya mwaka mmoja baada ya kuvunjika kwa mfupa wa paja !!

 *Tembea kila siku bila kukosa*


 ▪️ Kufanya mazoezi ya miguu, huwa hachelewi sana, hata baada ya umri wa miaka 60.

 *W A L K*


 ▪️Ingawa miguu/miguu yetu itazeeka hatua kwa hatua, kufanya mazoezi ya miguu/miguu yetu ni kazi ya maisha yote.

 *Tembea hatua 10,000*


 ▪️Ni kwa kuimarisha miguu mara kwa mara, mtu anaweza kuzuia au kupunguza kuzeeka zaidi.

 *Tembea siku 365*


 ▪️ Tafadhali tembea kwa angalau dakika 30-40 kila siku ili kuhakikisha kuwa miguu yako inapata mazoezi ya kutosha na kuhakikisha kuwa misuli ya miguu yako inabaki na afya.

 *ENDELEA KUTEMBEA*


 Unapaswa kushiriki habari hii muhimu na marafiki zako wote wa miaka 40"

  na wanafamilia, kwani kila mtu anazeeka kila siku.

Saturday, April 15, 2023

MTIHANI WA SAYANSI DRS VII

 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 

 

  

 

MTIHANI WA PAMOJA WA UTAMILIFU DARASA LA SABA 

 

JULAI  2019 

 

SAYANSI 

Muda: Saa 1:30  

MAELEKEZO KWA WATAHINIWA 

 

1. Karatasi hii ina sehemu A na B zenye maswali arobaini na tano (45) 

 

2. Jibu maswali yote katika kila sehemu.  

 

3. Soma maelekezo yote yaliyoko katika karatasi maalum ya kujibia (OMR) 

 

4. Jaza taarifa zote katika fomu ya OMR na kwenye ukurasa wenye swali 41 - 45    katika karatasi ya maswali  

 

5. Weka kivuli katika kila tarakimu ya namba yako ya mtihani kwenye nafasi husika   

  katika fomu ya OMR  

 

6. Weka kivuli katika herufi ya jibu sahihi kwa kila swali katika karatasi yako ya kujibia    OMR kwa swali la 1 - 40. Kwa mfano kama jibu ni D weka kivuli kama ifuatavyo:- 

 

 

7. Ukigundua kuwa herufi uliyowekea kivuli sio sahihi futa kivuli hicho kwa umakini  kwa  kutumia kifutio safi kabla ya kuweka kivuli katika herufi mpya. 

 

8. Tumia penseli ya HB tu katika kujibu swali namba 1 - 40 na tumia kalamu ya wino    wa bluu au mweusi kujibu swali la 41 - 45 

 

9. Simu za mkononi “HAZIRUHUSIWI” katika chumba cha mtihani. 

 

Karatasi hii ina kurasa 5 zenye maandishi 

   

SEHEMU A Chagua herufi ya jibu sahihi 

1. Ugonjwa upi kati ya magonjwa yafuatayo si ugonjwa wa ngono? [

(a) Kaswende (b) Trakoma (c) Kisonono (d) V.V.U / UKIMWI (e) Trikomona 

2. Ogani inayozalisha kimeny’enya cha fati na mafuta huitwa ………………………..  [ ] (a) moyo (b) figo (c) kongosho (d) ubongo (e) tumbo 

3. Mshipa unaosafirisha damu chafu kwenda kwenye mapafu huitwa …………………… [

(a) ateri (b) vena kava (c) vena (d) ateri ya polimonari (e) vena ya polimonari 

4. Upi ni mpangilio wa sahihi wa uandishi wa ripoti ya Jaribio. [

(a) Njia, Vifaa, Kusudi, Matokeao na Hitimisho  (b) Njia, Vifaa, Kusudi, Hitimisho na Matokeo 

(c) Kusudi, Njia, Vifaa, Matokeo na Hitimisho (d) Kusudi, Vifaa, Njia, Matokeo na Hitimisho  

5. Hatua ya kwanza ya kumhudumia majeruhi wa ajari ni [

(a) Kutibia kwenye jeraha (b) Mpeleke majeruhi hospitali (c) Mtoe majeruhi katika eneo la hatari (d) Kumpatia mchanganyiko wa sukari na chumvi (e) Kuita gari la wagonjwa 

6. Sehemu ipi ya ua inayokuwa na kuwa mbegu baada ya uchavushaji?.  [ ] (a) Ovyuli (b) Ovari (c) Stigma (d) Petali (e) Sepali 

7. Gesi gani inayounda bayogesi kwa kiwango kikubwa? [

(a) Kabonidayoksaidi (b) Uvuke (c) Naitrojeni (d) Oksijeni (e) Mitheni 

8. Homoni inayodhibiti mmeng’enyo wa chakula huitwa……………….  [

(a) Insulini  (b) Parathormoni (c) Adrenalini (d) Thairoksini (e) Oksizitesini 

9. Joto husafiri kwa njia gani katika maada yenye hali yabisi?. [ ] (a) Transilokasheni (b) Msafara (c) Mnururisho (d) Mpitisho (e) Transifomasheni 

10. Sehemu inayolinda ua kabla halijachanua huitwa ……………………… [

(a) Petali (b) Sepali (c) ovari (d) staili (e) kikonyoa 

11. Kipimio kinachothibitisha kuwa damu ina V.V.U huitwa……………  [

(a) Kipimio cha damu (b) Western blot  

(c) Kipimio cha mkojo (d) Kipimio cha malaria (e) Kipimio cha haraka 

12. Upungufu wa vitamin inayozalishwa katika ngozi kwa msaada wa mwanga wa jua husababisha ugonjwa wa …………………….         [ ] 

(a) Kiseyeye (b) Beriberi (c) Pallagra (d) Matege (e) Ukavu macho 

13. Paneli za jua hubadilisha nishati ya mwanga kuwa aina gani ya nishati?  [ ] (a) Umeme (b) Sauti (c) Elektroni (d) Mwanga (e) Joto 

14. Kitendo cha kusafirisha chakula kutoka kwenye majani kwenda kuhifadhiwa huitwa  [

(a) Respiresheni  (b) Transipiresheni  

(c) Transilokesheni (d) Fotothinthesisi (e) Kuota kwa mbegu 

15. Sehemu ipi katika kielelezo kifuatacho inayohusika katika mfumo wa homoni na mmeng’enyo wa chakula?        [ ] 

(a) A  

(b) B  

(c) C  

(d) D  

(e)

16. Tendo la urutubisho hufanyika katika sehemu gani ya via za uzazi wa mwanamke? [

(a) Ovari (b) Uterasi (c) Selviksi (d) Kuta za Uterasi (e) Mirija ya falopia 

 

17. Haemofilia ni ugonjwa unaosababishwa na upungufu wa …………………… [

(a) Vitamini B1 (b) Vitamini B2 (c) Vitamini K (d) Vitamini C (e) Vitamini B12 

18. Kifaa kinachotumika kupima mkondo wa umeme katika sakiti huitwa ……………… [ ] (a) Voltimita (b) Amita (c) Galvanomita (d) Ohmmita  (e) Ampia 

19. Sehemu ya seli inayotawala shughuli zote za seli ni …………………. [

(a) Nyukliasi (b) Kiwambo cha seli  

(c) Ukuta wa seli (d) Saitoplazimu (e) Kloroplasti 

20. Kuna maumbo mangapi ya sumaku?  [

(a) 3 (b) 6 (c) 4 (d) 5 (e) 2 

21. Moja kati ya shughuli zifuatazo haisaidii kutunza mazingira yetu, nayo ni …………… [

(a) Kupanda miti  (b) Kujenga uzio  

(c) Kulima kwa kufuata kontua (d) Matumizi mrudio wa takataka (e) kukata miti 

22. Lava wa kipepeo hujulikana kama……………….. [

(a) Funza (b) Kiluwiluwi  (c) Pupa (d) Kiwavi (e) Mdudu kamili 

23. Sehemu ya mfumo wa upumuaji ambayo mbadilishano wa gesi hutokea huitwa? [ ] (a) Trakea au umio wa hewa (b) Pua    (c) Viriba hewa (d) Bronchioli  (e) Bronkasi 

24. Lenzi inayokusanya miale ya mwanga huitwa … [

(a) Lenzi mbinuko (b) Lenzi mbonyeo  

(c) Kioo bapa  (d) Kioo mbinuko (e) Kioo mbonyeo 

25. Ugonjwa unaosababisha na bakteria aina ya basili huitwa …………………….. [ ] (a) Kifua kikuu (b) Kichomi (c) Pumu (d) Kansa (e) Kuhara 

26. Mkono wa binadamu ni nyenzo daraja la ngapi? [ ] (a) Kwanza (b) Tatu (c) Nne (d) Pili  (e) Tano 

27. Sehemu iliyooneshwa kwa herufi K huitwa …………………….  [

(a) Aksoni 

(b) Saitoplazimu  

(c) Mafuta (d) Dendriti  

(e) Nyukliasi 

28. Juma alitumia kani ya N20 kufanya kazi ya joule 50. Tafuta umbali wa uelekeo wa kani? 

(a) m 2.5 (b) m 0.25 (c) m 25 (d) m 1000 (e) m 100 [

29. Ipi kati ya yafuatayo si sababu ya kutoa huduma ya kwanza ……………………….. [

(a) Kuokoa maisha (b) Kupata fedha  

(c) Kupunguza maumivu (d) Kuzuia kutoka kwa damu (e) Kutoa matumaini 

30. Njia ipi inayotumika kuwasilisha data za uchunguzi au utafiti wa kisayansi? [

(a) Uchunguzi (b) Wastani (c) Takwimu kwa duara (d) Umbali (e) Asilimia 31. Sehemu ipi katika kielelezo kifuatacho husukuma damu kuelekea sehemu zote za mwili.  

(a) A  

(b) B   [

(c) C  

(d) D  

(e)

 

 

32. Alama hii inawakilisha nini katika sakiti ya umeme. [

 

(a) Kihisi umeme (b) Fyuzi (c) Mkondo geu (d) Mkondo mnyoofu (e) Kikinza 

33. Ipi ni njia ya asili ya uzazi wa mpango kati ya zifuatazo.  [

(a) Kutumia kondomu  (b) Sindano  

(c) Kuendelea kumnyonyesha mtoto (d) Kutumia vidonge  

34. Sehemu ipi ya mwili inayotengeneza seli zinazoshambuliwa na V.V.U [ ] (a) Uroto mwekundu (b) Moyo (c) Ini  (d) Uroto wa njano (e) Mapafu 

35. Ogani katika kielelezo kifuatacho hutoa taka mwili gani?    [

 

(a) Urea  (b) Jasho  

(c) Mkojo  

(d) Kabonidaioksaidi   

(e) Amonia 

 

36. Muunganiko wa Elementi zisizofanana mbili au Zaidi ya mbili huitwa ……………………. [ ] (a) Molekyuli (b) Valensi (c) Kampaundi (d) Elektroni (e) 

37. Tafuta ukubwa wa pembe akisi (r)  [

 

(a) 350  

(b) 550  

(c) 450  

(d) 300  

(e) 700 

38. Ipi kati ya kazi zifuatazo si kazi ya mifupa.  [

(a) Kutengeneza damu (b) Kuupa mwili umbo (c) Kusimamisha mwili na kutembea  

(d) Kulinda ogani za ndani ya mwili (e) Kupitisha taarifa 

39. Badili 143.60F kuwa sentigredi? [

(a) 600C (b) 630C (c) 59.40C (d) 760C (e) 620C 

40. Sehemu ipi katika kielelezo kifuatacho huonesha Humerasi?  [

(a) C  

(b) B  

(c) D  

(d) A  

(e)

 

   

 

Mkoa_________________________ Wilaya_________________________________ 

 

Shule________________________________________________________________ 

 

Namba ya Mtahiniwa___________________________________________________ 

 

Somo________________________________________________________________ 

SEHEMU B:  

Jibu maswali yafuatayo 

41. Andika mlinganyo ua alama ya kikemikali inayowakilisha maada ambayo inauwezo wa kupatikana katika hali kuu tatu za maada …………………… 

 

42. Tafuta mkondo wa umeme katika sakiti ifuatayo?  

  

43. Mashine ya jitihada ya N250 ilijongea umbali wa meta 16 kuinua mzigo wa N500 kwa umbali meta 

4. Tafuta ufanisi wa mashine. 

 

 

 

 

44. Sehemu ya jicho ambayo inafanana na filamu katika kamera huitwa ……………………. 

 

45. Tafuta thamani ya mzigo X katika mchoro ufuatao:  

  


HISTORY EXAM FOR FORM FOUR

  THE PRESIDENT’S OFFICE
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
FORM FOUR MOCK-JOINT EXAMINATIONS. MARCH-2023
012                                                   HISTORY                               TIME: 3HRS
INSTRUCTIONS 
1. This paper consist of section A, B and C with total of 11 questions.
2.  Answer all questions from section A, B, and TWO questions from section C.
3. Section A carries 16 marks, section B 54 marks, and section C 30 marks.
4. Any authorized materials are not allowed in the examination room.
5. All drawings must be in pencil.
6. Write your examination number on every page of your answer booklets.
SECTION A: (16 MARKS)
Answer all questions from this section
1. For each of the following items (i -x), choose the correct answer from among the given alternatives and write its letter beside the item number in the answer booklet provided
i. In order to get the historical information, we need to consult different sources of historical information such as anthropology, achieves, museums and electronic devices, which among the following is not limitation of using oral tradition. 
A. False information can be given by a story teller
B. It consume time because of excavation
C. Language barrier can occur
D. It is difficult to distinguish what is real and imaginary
E. It needs much attention and power of memory
ii. Feudal system of production that evolved in Buhaya was known as;- 
    
     A. Busulo 
     B. Umwinyi 
     C. Ubagabire 
     D. Nyarubanja 
     E. Nvunjo 
iii. The day in which great depression (1929-1933) occured in history is common known as.
     A. Black Sunday
     B. Black Friday
     C. Black Tuesday 
     D. White Sunday
     E. Black Thursday
iv. During the middle Stone Age man were able to make smaller, sharper and easier to handle stone tools like spears, arrowheads, knives and scraper. Who was responsible for making those tools?
A. Homo Habilis and Australopithecus
B. Homo Erectus and Homo Habilis
C. Australopithecus and Homo Erectus
D. Homo Sapiens and Homo Habilis
E. Homo Erectus and Homo Sapiens
v. During pre-colonial time, the African societies were extracted salt from various sources like water and rocks. Which one among the following places did people extracted salt from salt bearing rock?
A. Uvinza and Taghaza 
B. Taghaza and Bilma
C. Axum and Taghaza
D. Meroe and Egypt 
E. Uvinza and Bilma 
vi. Each organization formed in the world had its administration structure, which help to simplify the administrative role of the specific charter. What are the organs in UN which are termed as, the supreme organ and the body concerned with day to day work of UN
A. The Security Council and The General Assembly
B. General Assembly and the International Court of Justice
C. The General Assembly and The Secretariat
D. The Security Council and the Secretariat
E. The Economic and Social Council and UNESCO
vii. The societies from South Africa had long history to tell about coming of Dutch at the cape, coming of British at the cape, Boers trek, Mfecane war and Ngoni migration. Why were the rulers of the small Ngoni groups being able to defeat ad consolidate their power to most of the east Africa societies?
A. Their female subjects were married by defeated tribes
B. Their male subjects were agents of colonialism
C. Their army used more magic power than weapons
D. Their army had poor weapons like guns
E. War captives were spared and recruited into Ngoni armies
viii. The Kuntakinte’s Grandfather had e tendency and behavior of narrating different historical events to Kuntakinte’s every evening. Last time he narrated about the factors that led to the occurrence of First World War, like Moroccan crisis, formation of military alliance and assassination of Archduke Ferdinand. What source of historical information used in giving these events.
A. Oral tradition 
B. Narration of the past events
C. Historical information
D. Archaeology 
E. Historical sites 
ix. Mr. Kahenja Msangi fought the Second World War and now he is very old. In history we can term Mr Kahenja Msangi as.
A. Colonialist
B. Soldier
C. British
D. Ex-soldier
E. Colonizer
x. The conflicting interests of the imperialists powers were diplomatically resolved and each power was given her areas of interest and the sphere of influence during.
A. The Versailles Peace Treaty of 1919.
B. The Berlin Conference of 1884-1885
C. The Helligoland Treaty of 1890
D. The Anglo-German agreement of 1890
E. The Manchester Conference
2. Match the terms in LIST A with correct responses in LIST B by writing the letter of the correct responses beside the item number in the answer booklet provided
LIST A LIST B
(i) The founder of Conversion Peoples Party (CPP) which was break from United Gold Coast Conversion (UGCC) and become the first president of his nation.
(ii) The founder of FRELIMO, outside of his country and was assassinated by parcel bomb while he was at Dar es Salaam, Tanzania.
(iii) The founder of MPLA and become the first president of his country after the end of Portuguese rule.
(iv) The founder of UNITA to against the existing government from 1975 to 2002.
(v) The founder of Umkonto we Sizwe(spear of the nation) and ANC and become the first president of majority rule in his nation A. Mwl. J.K. Nyerere
B. Augustino Netto
C. Robert Mugabe
D. Dr. Kwame Nkurumah
E. Sam Nujoma
F. Jonas Savimbi
G. Jamshid Abdullah bin Khalifa
H. Samora Machel
I. Nelson Mandela
J. Milton Obote
K. Eduardo Mondlane.
L. Nnandi Azikiwe
(vi)The founder of TANU and become the first president of her 
country after the end of white domination.
SECTION B: (54 MARKS)
Answer all questions in this section.
3. Briefly explain what you understand on the following historical questions.
i. Explain what do you understand about Pan-Africanism Movement and show on how was become helpful in the struggle of African nationalism.
ii. Every sources of historical information have its own challenges to use. In two points explain the limitation of using archaeology to obtain historical information.
iii. Explain why Versailles peace treaty associated with occurrence of the Second World War of 1939-1945.
iv. In two points explain why in the history of mankind, it is necessary to study the evolution of man.
v. Explain how the competition in sugar production between British and France, was one of the factors for abolition of slave trade world
vi. Explain the two types of stone tools used by man during early Stone Age in different daily activities.
4. Arrange the following statements in chronological order by writing number 1 to 6 beside the item number.
i. The Majimaji war was unique in the way it united a number of different tribes in common rebellion, and it was termed as large scale resistance since it was covered large area.
ii. The German authorities were surprised when their headquarters and officials were attacked.
iii. The last and most serious revolt against German rule broke out in July, 1905 up to 1907.
 iv. The immediate cause of discontent was the government’s cotton scheme, which was accompanied with intensive exploitation.
v. A prophet named Kinjekitile Ngwale of Ngarambe declared that magic water which was mixed millet and other local medicine will turn bullets into water.
vi. Due to this wrong belief of turning bullets into harmless water these tribes were defeated by the Germans.
5. Draw the sketch map of Africa and locate by using roman numbers on the following historical countries.
i. A country which sharpened the struggle for independence in Africa.
ii. A country which is new member of East Africa Community.
iii. A country in which Sir Abubakar Tafawa Balewa become prime minister.
iv. A country where Agadir Affair was occurred.
6. Professor Marandu Kidia was conducting the historical research on the people along the coast of East Africa. He needed some of historical facts and information about the coast of East Africa. Give four sources that can use to get those historical facts and information.
7. After the Berlin Conference of 1884-1885 what followed was to occupy the colonies and imposing colonial rule. Explain six ways used by colonialist to impose colonial rule.
8. Examine six contribution of social and welfare association to the rise of Nationalism. 
SECTION C: (30 MARKS)
Answer only two questions from this section
9. African continent had its own history and its development, not as colonialist termed as Dark Continent. In six arguments, show the basis for consolidation and development of centralized states in Africa during pre-colonial era.
10. “Colonial social services consolidated colonialism in Africa”. Justify this statement by giving six points.
11. The situation which was occurred during 1929 to 1933, it was terrible and horrible whole over the world due to its result. In six points explain the effects of this situation on African countries.
x

Thursday, April 13, 2023

UMUHIMU WA HADITHI KWA WATOTO

 Uundaji upya wa Hadithi: Mbinu za kufundisha kusoma kwa ufahamu

Kitini cha Mwalimu cha Kujifunzia kupitia Jumuiya za Kujifunza (JzK)

________________________________________________________________________________________________________

Utangulizi

Uundaji upya wa hadithi ni mkakati wa kutumia mbinu za kufundisha ufahamu katika kuwaongoza wanafunzi kuhusianisha matukio halisi ya mazingira yao na kile kilichoelezewa katika hadithi waliyoisoma ili kuweza kupata maarifa zaidi ya kilichomo kwenye hadithi. Shughuli hii ya uundaji upya wa hadithi huwasaidia wanafunzi kutumia mbinu na mikakati ya ufahamu na kujenga stadi za lugha ili kuwasilisha ujumbe.

Mpendwa Mwalimu, jadilianeni na wenzako hoja zilizoainishwa katika kitini hiki cha kujifunzia wakati wa mkutano wa JZK.

Faida za kumsaidia mwanafunzi wa darasa la awali kuunda hadithi upya

Hukuza ujuzi wa kuzungumza kwa watoto;

Husaidia kuongeza uwezo wa wanafunzi kufikiri na kuhusianisha hadithi na maisha yao ya kila siku moja kwa moja;

Hujenga kumbukumbu ya muda mrefu kuhusu hadithi aliyojifunza na mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye hadithi;

Hukuza ujuzi wa wanafunzi wa kutumia lugha kuwasilisha ujumbe;

Husaidia kujifunza msamiati mpya (maneno mapya); na

Hujenga uwezo wa watoto wa kusimbua maneno katika Darasa la I.


Fuata hatua hizi ili kuwaongoza wanafunzi kuunda upya hadithi:

Tumia kitabu au hadithi ambayo inajulikana kwa wanafunzi;

Waambie wataje jina la hadithi au la kitabu;

Watake wanafunzi waeleze wanachokiona kwenye jalada la kitabu;

Uliza maswali wakati wa kuonesha picha zilizopo kwenye jalada la kitabu:

o Mnaona nini kwenye jalada?

o Picha ya jalada inatuambia nini kuhusu hadithi?

Pitia tena maneno mapya ya msamiati:

o Waombe wanafunzi waeleze maana ya maneno mapya yaliyotumika. Kwa mfano, Roza anaposema ni hatari sana anamaanisha nini?

Kabla ya kusoma hadithi, waoneshe wanafunzi picha za kila ukurasa. Hii inaitwa ‘mapitio  ya picha.’ Uliza maswali kama: 

o Ni nini kinaendelea hapa?

o Mchoro huu unakuambia nini kuhusu mhusika X?

o Unaweza kusema nini kuhusu mahali ambapo hadithi inatokea, au inafanyika?

Baada ya mapitio ya picha, wasomee wanafunzi hadithi kila ukurasa kwa sauti. Kabla ya kuendelea na ukurasa mpya, tumia maswali ya ubashiri:

o Je, nini kitafuata?

o Unafikiri Sekelela na bibi yake wanahisi vipi kuhusu kupanda mgongo wa tembo?

o Je, Sekelela ataweza kumpanda tembo yeye peke yake?

o Uliwahi kupanda mnyama gani? Ulikuwa unaenda wapi? Ulikuwa na nani?

Utahitaji kurekebisha muundo wa maswali yako ili kuakisi hadithi husika. Maswali haya huwasaidia wanafunzi kusimulia na kuendeleza hadithi kulingana na muktadha wao halisi.

Baada ya kusoma hadithi nzima, waongoze wanafunzi kukuza stadi za kufikiri kwa kuwaongoza kujibu maswali zaidi. Waambie wajibu maswali yafuatayo wakiwa katika jozi, ili watoto wote washirikishwe na wajifunze:

o Je, ni nini kingetokea kama Sekelela na bibi yake wangeamua kutompanda tembo?

o Je, wewe umewahi kusafiri kwa kutumia usafiri wa mnyanma? Ni mnyama gani?

o Je, umewahi kuendesha nini kati ya vitu vifuatavyo? (Baiskeli, Gari, Pikipiki/Bodaboda)

o Ulikuwa unakwenda wapi?

o Ulikuwa na nani wakati unasafiri kwenda huko?

o Je, ilikuwa wakati wa likizo au la?

o Mlikuwa mnakwenda kuwatembelea akina nani? Mlipofika huko, nini kilitokea?


Monday, April 3, 2023

Download TIE BOOKS HERE

ALL TIE BOOKS (DOWNLOAD OR READ ONLINE) | https://www.maxflix93.com/2023/02/all-tie-books.html?m=1https://www.maxflix93.com/2023/02/all-tie-books.html?m=1

Sunday, April 2, 2023

Happy family


 Kumbukumbu ya maisha ya mahusiano baina ya familia ni muhimu sana. 

Saturday, September 25, 2021

JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO? SOMA HAPA PANAKUHUSU

 Chakula cha mtu mwenye Vidonda vya Tumbo


Mayai na bidhaa za maziwa


Alkaline: mtindi Neutral: mtindi mtupu (plain Yogurt ),Acid: siagi, krimu, mayai, jibini ngumu (Hard Cheese), Ice Cream, jibini ya kiwandani (Processed Cheese), maziwa


Vyakula jamii ya maharage


Alkaline: Lima, njegere, Snap, StringNeutral: SoyaAcid: Black, Garbanzo, Kidney, dengu


Vyakula jamii ya karanga


Alkaline: lozi, Nazi freshi (fresh)Neutral:Acid: korosho, Nazi kavu (dried coconut), Macadamia, karanga, Pecan, Pistachio, Walnut


Mboga za majani


Alkaline: asparaga (Asparagus), kiazisukari (Beets), brokoli (broccoli), kabeji, karoti, Koliflawa (aina ya kabichi – Cauliflower), figili (Celery), tango, mwani (Kelp), saladi (Lettuce), uyoga, vitunguu, kotimiri (Parsley), Bell Peppers, viazi ambavyo havijamenywa (with skin), boga (Squash), nyanyaNeutral: Horseradish, Rhubarb, SauerkrautAcid: Spinachi iliyopikwa, viazi ambavyo vimemenywa (no skin Potato), achali


Matunda


Alkaline: tufaa (Apple), parachichi, tende, mtini, zabibu, balungi, Kiwi, Limau, ndimu, embe, tikiti maji, chungwa, mpichi, Pears, StroberiNeutral:Acid: Blueberry, Cranberry, plamu (Plum), plamu kavu (Prune)


Vinywaji


Alkaline: Maji ya limau, Chai ya tangawiziNeutral: MajiAcid: Chai ya rangi, Bia,vinywaji vyenye kafeina, juisi za viwandani (processed), Liquor, Soda,


Viongeza utamu


Alkaline: Asali mbichi (Raw Honey), sukari mbichi (Raw Sugar), SteviaNeutral:Acid: Viongeza utamu vyote vya kutengenezwa (Artificial Sweeteners)


Nyama


Alkaline:Neutral:Acid: Nyama ya ng’ombe, kuku, Samaki, mbuzi, batamzinga, nyama ya Sungura


Mafuta


Alkaline: mafuta ya mbegu za kataniNeutral: mafuta ya lozi, Canola, mafuta ya nazi, mafuta ya mahindi, Margarine, mafuta ya zeituni, Safflower, mafuta ya ufuta, mafuta ya Soya, mafuta ya alizetiAcid:


Vitafunwa & nafaka


Alkaline: Amaranth, Millet, QuinoaNeutral:Acid: Barley, Buckwheat, Oats, mchele, Rye, Spelt, ngano, Pasta (vyakula jamii ya tambi), biskuti


Mbegu


Alkaline: Alfalfa (sprouted), chia (sprouted), Sesame (sprouted)Neutral:Acid: boga, alizeti, ngano

VYAKULA BORA KWA AJILI YAKO

 Vyakula Vya Kupunguza Mwili.
1. Mchanganyiko wa maji, matango, ndimu au malimao (unaweza kutumia chochote kati ya hivyo), mdalasini, tangawizi, majani ya mint na ukipenda asali. 
Kazi: Unasaidia kupunguza uzito sana. Ni njia nzuri ya kupunguza sumu mwilini (kufanya detox).
TUMIA MUDA WOWOTE.
Uaandaaji: -
Maji lita 2 - Tango 1 kubwa. Likate vipande vya mviringo bila kumenya. - Tangawizi kipande kimoja cha kati kilichokatwa. - Mdalasini kijiti 1 - Majani ya mint vitawi 12 - Asali kijiko 1 kidogo ukipenda Changanya.
Acha usiku mzima.
Anza kunywa kuanzia asubuhi. Maji yakiisha tafuna vilivyomo na rudia tena kesho yake. Ukiendelea hivi matokeo ndani ya wiki moja utaanza kuona. 
2. Mchanganyiko wa green tea na tangawizi.
Mchanganyiko huu una kemikali za catechin na theanine. Hizi zinasaidia kuchangamsha mwili ili uchome mafuta mengi zaidi muda wote.
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Uandaaji:
Nunua green tea kutoka supermarket ya karibu. Pika kama chai ya kawaida ya rangi na ongeza kipande kiasi cha tangawizi iliyosagwa wakati chai inaaza kuchemka. Kunywa kadri utakavyo. Ni vema usitumie sukari. 
3. Maji ya mdalasini na asali.
Mdalasini unazuia kuongezeka kwa sukari kupita kiasi ndani ya mwili. Pia unazuia mafuta kulundikana chini ya ngozi na kusababisha uzito kuongezeka. Hii ni njia nzuri ya kupungua zaidi kama unafanya diet au mazoezi. 
MARA MOJA KWA SIKU INATOSHA. 
Uandaaji: -
Mdalasini uliopondwa nusu kijiko cha chai - Asali kijiko 1 cha chai - Maji kikombe 1 Chemsha maji. Weka mdalasini katika kikombe. Mwagia maji kwenye kikombe na ngojea yapoepoe. Ongeza asali.
4. Apple Cider Vinegar.
Imeonekana kusaidia watu katika kupunguza mafuta mwilini.
Matumizi:
Vijiko viwili vya apple cider kwenye glasi moja ya maji. Kunywa kila asubuhi na jioni.
5. Supu ya maharage aina 3.
Maharage yana protini, nyuzinyuzi na hayana mafuta. Ni chakula kinachoshibisha haraka na kwa muda mrefu bila kusababisha uzito kuongezeka.
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Uaandaji: -
Chukua viwango sawa vya maharage, njugu mawe na mbaazi na chemsha kwa masaa kadhaa mpaka uone maharage na mbaazi zimetengana. Weka karoti moja nzimanzima ili inyonye gesi wakati wa kuchemsha. - Hapa unaweza kutumia supu hiyohiyo uliyochemshia na kunywa baada ya kuongeza chumvi. Pia unaweza kuchuja maji na kuweka hayo maharage na vinginevyo katika supu ya nyama uliyoandaa pembeni na kuinywa. 
6. Supu Jembe (Supu ya Kabeji).
Supu hii inasifika kwa kuwa na mbogamboga nyingi zinazopunguza uzito. Unavyoinywa zaidi ndivyo unavyopungua zaidi. 
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Uandaaji: -
Kabeji moja kubwa. Ikatekate vizuri. Vipande visiwe vidogodogo sana. - Kitunguu maji kimoja kikubwa. Kitakekate kama kawaida. - Pilipili hoho moja kubwa. Ikatekate vizuri. - Kitunguu swaumu, kifundo kimoja. 
Menya na pondaponda vizuri. - Nyanya nusu kilo. Katakata vipande vikubwakubwa. (Si lazima kama hupendelei) - Karoti nusu kilo. Zikatwekatwe saizi kubwa za kutafuna. - Maji lita 5. Kama una chombo kidogo, basi tumia maji lita 2 na nusu halafu gawanya kila kilichopo hapo juu kwa 2. - Chumvi na pilipili kiasi Kaanga mbogamboga na vitunguu kwenye mafuta (mafuta ya nazi ni mazuri zaidi) kidogo (usiweke kabeji na nyanya). 
Hakikisha vitunguu vinaiva lakini havibadiliki rangi kabisa. Ongeza nyanya, kabeji na maji na chemsha mpaka mbogamboga zilainike. Hapa unaweza kuongeza viungo na chumvi na kukoroga. Acha itulie kwa dakika 5 kisha epua. Unaweza kutunza supu yako kwenye friji na kunywa kila unapojisikia. Au kama haupo nyumbani unaweza kuiweka kwenye thermos na kunywa popote uendapo. 
7. Salad ya maparachichi.
Maparachichi ni matunda muhimu sana kama unajaribu kupunguza uzito. Yana virutubisho vinavyopelekea kuchomwa mafuta mwilini zaidi. Pia unaweza kutumia fursa hii kuongeza mbogamboga na matunda mengine yanayosaidia katika kupunguza uzito. 
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Uandaaji: -
Vipande 4 vya vitunguu vilivyokatwa kwa mviringo - Machungwa 2 - Maparachichi 2 - Vijiko 3 vya chai vya mafuta ya zeituni (olive oil) - Vijiko 2 vya chai vya majani ya mint - Kijiko 1 cha chai cha maji fresh ya ndimu - Kijiko robo cha chai cha chumvi Loweka vitunguu, ukali utoke. 
Menya machungwa na ondoa kabisa ule weupe ibaki nyama tu. Katakata kwa vipande vya mviringo. Menya na katakata maparachichi upendavyo. Ongeza majani ya mint. Ongeza mafuta ya olive ukipenda kwa ajili ya kuongeza ladha. Mwagia maji ya ndimu
8. Juisi ya ndimu na matikitimaji.
Ndimu na matikitimaji vyote ni aina ya vyakula ambavyo vimekubalika kusaidia kupunguza uzito. Ndimu inatumika katika detox na pia inasaidia kuchoma mafuta zaidi. Matikitimaji yana maji mengi, mafuta sifuri na nyuzinyuzi sana hivyo yana uwezo wa kushibisha kwa muda mrefu na hivyo kumuepusha mtu kula vyakula vibaya. Pia nyuzinyuzi zinatumia nishati nyingi wakati wa umeng’enywaji na hivyo huchoma mafuta mengi mwilini. 
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Uandaaji: -
Ndimu 1 (ikamuliwe) - Tikiti kipande 1 saizi ya kati (lililomenywa) - Majani ya mint kiasi (ukipenda) Changanya vyote hapo juu kwenye blenda na saga mpaka upate kinywaji chenye rangi nyekundu. Hapo unaweza kunywa moja kwa moja. 
USIONGEZE MAJI, USIONGEZE SUKARI. 
9. Makande ya maharage (kwa kutumia mahindi yasiyokobolewa kabisa)
Huu ni mlo wenye protini kwa wingi, wanga wa kutosheleza, nyuzinyuzi pia. Utashiba kwa muda mrefu ukila hivi. Lakini kuwa makini usizidishe kiwango. Kikombe 1 tu cha makande haya kinatosha. 
TUMIA KAMA MBADALA WA VYAKULA VYA WANGA MZURI TU. 
Uandaaji:
Andaa kama kawaida. Ila kama unataka matokeo mazuri zaidi. Kula bila kuunga. Ukishachemsha, ongeza chumvi kidogo na ufurahie upunguaji wa kilo. 
10. Samaki na Vitunguu swaumu.
Samaki wana virutubisho vya Omega 3 na pia protini kwa wingi sana. Virutubisho hivyo vinasaidia kuchoma mafuta mwilini na protini inasaidia kujenga misuli mingi zaidi ndani ya mwili, misuli ambayo inachoma mafuta zaidi muda wote na kukufanya upungue zaidi. Vitunguu swaumu vinaongeza nguvu ya samaki zaidi.
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Utumiaji:
Ongeza vitunguu swaumu kadhaa katika kila mboga ya samaki upikayo. Kama unakula mkavu basi ambatanisha na vitunguu swaumu vibichi. 
11. Pilipili hoho na Mayai.
Mayai yana kemikali iitwayo choline inayoongeza uchangamfu (metabolism) ndani ya mwili na kuufanya mwili uchome mafuta zaidi hata ukiwa umepumzika. Pilipili hoho ina vitamin C kwa wingi ambayo husaidia kupunguza kemikali ya cortisol ambayo inahusishwa na stress na kulundikwa mafuta yanayosababisha unene. Ukiunganisha hivi viwili unapata chakula chenye nguvu kubwa ya kupunguza uzito.
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Utumiaji:
Kama unakaanga mayai, yakaange pamoja na pilipili hoho. Kama unayachemsha, basi kula na pilipili hoho iliyopikwa kidogo pembeni. Ni nzuri kwa afya yako na kwa kuondoa kilo za ziada haraka zaidi. 
12. MaApple na Matikitimaji.
Apple ni tunda lenye nyuzinyuzi sana. Nyuzinyuzi ni muhimu katika kupunguza uzito kwa sababu humwezesha mtu kushiba haraka na kwa muda mrefu zaidi. Pia yana msaada wa moja kwa moja katika kuondoa mafuta mwilini hasa tumboni. Matikiti nayo yana nyuzinyuzi sana na ndio maana ukiunganisha haya matunda mawili unapata mchanganyiko wenye nguvu kubwa ya kupigana na uzito uliopitiliza. 
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Utumiaji:
Unaweza kukatakata matunda haya, kuyachanganya na kutumia kama salad. Pia unaweza kuyasaga pamoja bila kuongeza chochote kisha unywe kama juisi (usitoe mbegu za tikiti). 
13. Viazi vitamu na Mtindi.
Viazi vitamu vimeitwa ‘vyakula vya wanga ambavyo haviwezi kukunenepesha’.
Hii ni kwa sababu ukiachana na wanga kiasi, viazi hivi vina nyuzinyuzi nyingi inayosaidia katika kuchoma mafuta mengi mwilini. Ivyo hayasababishi uzito kuongezeka kirahisi kama vyanzo vingine vya wanga. Hivi ni chakula kizuri sana cha kukupatia nguvu wakati wa diet.
Mtindi una protini nyingi ambayo hufanya mwili ushibe kwa muda mrefu. Protini pia inachoma nishati nyingi wakati wa umeng’enywaji hivyo inasaidia kuchoma mafuta mengi zaidi mwilini.
TUMIA KAMA MBADALA WA WANGA MZURI TU.
Utumiaji:
Kula viazi vitamu vya kuchemsha na mtindi usio na madoido wowote. Kula asubuhi au mchana kwa kuwa unahitaji nguvu zaidi mwilini wakati huo. 
14. Matango na Apple cider vinegar.
Matango yana maji kwa asilimia 95. Hivyo ni tunda zuri kula mara kwa mara bila kuongeza kilo.
Ila wengi huwa wanaboreka nayo. Hapa ndipo apple cider vinegar inapoingia.
Apple cider vinegar inaenda kusababisha mafuta mengi zaidi kuchomwa ndani ya mwili na hivyo kufanya uzito upungue kwa kasi zaidi. 
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Utumiaji:
Chomvya tango kwenye apple cider vinegar kabla ya kulila.Fanya kadri uwezavyo. Wengi huweka vijiko 2 vya apple cider vinegar kwenye glasi ya maji kabla ya kuanza kuchomvya. 
15. Aloevera gel.
Aloevera inachangamsha mwili (boosting metabolism) na kuongeza utumiaji wa nishati mwilini, ambavyo vyote husababisha mafuta kuchomwa zaidi. Pia inaondoa sumu katika mfumo wa umeng’’enywaji chakula (digestive system).
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Utumiaji:
Zipo wanazouza kwa ajili ya kunywa. Forever Aloevera gel ni mfano mzuri. Tumia kwa angalu mwezi 1 uanze kuona matokeo vizuri. 
16. Kula chakula kilichochemshwa au kupikwa kutumia mvuke tu.
Hii ni njia nzuri ya kuepuka mafuta na mbwembwe nyingi katika chakula. Pia virutubisho vilivyomo katika vyakula vinatunzwa zaidi katika chakula kilichochemshwa tu kuliko katika hali nyingine. 
Ufanyaje:
Chemsha vyakula vyako vingi. Usisahau kunywa na supu zake kwa kuwa inakusaidia kushiba haraka, na kukupunguzia kilo zaidi. 
17. Nyanya.
Nyanya zina nyuzinyuzi ambazo husaidia mfumo wa umeng’enywaji uende haraka zaidi. Hii inaweza kuzuia chakula kubadilishwa kuwa mafuta. Pia zina vitamin A, C na K zinazokufanya uwe na afya zaidi. 
TUMIA MUDA WOWOTE. 
Utumiaji:
Kula nyanya 2 ambazo hazijapikwa kwa siku ili uweze kupunguza uzito. Ila kama zinakusumbua au una vidonda vya tumbo, usitumie.

Sunday, May 31, 2020

Education

Good for reading

Tuesday, April 5, 2016

UNATATIZO L NGUVU ZA KIUME,HAPA PANAKUHUSU

SABABU ZA UPUNGUFU AU UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
1.Vyakula hasa vyenye mafuta ya wanyama au mafuta yenye Lehemu(Cholestrols).
Matumizi ya vyakula vye kusindikwa zaidi.
2.Madawa, dawa kama Cimetidine ya vidonda vya tumbo au Adolmet ya shinikizo la damu la kupanda.
3.Miozi kama ya X-ray, Gamma Ray, simu,na vifaa vingine vya Electronic .
4.Magonjwa kama Sonona, Msongo wa mawazo, Kisukari, Kifafa, Ngiri n.k
5.Unene kupita kiasi(Obesity).
6.Kupendelea kuangalia picha za ngono au utupu.
7.Sigara.
8.Pombe.
9.Na nyinginezo.
Hizo ni baadhi ya sababu kwa ujumla wake.

Vyakula vyenye madini ya zinc, folic acid,Omega 3(Mafuta ya samaki), Vitamini B1, B6,B12, E n.k ni katika vyakula vyenye kuongeza hamu ya tendo la ndoa. Pia kuongeza ufanisi wa ufanyaji wa tendo la ndoa(Nguvu).
Baadhi ya vyakula hivyo ni vifuatavyo:
Tangawizi, Kitunguu swaum, Tikiti maji(hasa mbegu zake), Parachichi,Kitunguu maji, Asali, Habat sawda, Tende,Pilipili, Mdalasini, Karanga, Korosho,Pweza, Kiini cha yai, Mkate wa brown,Dark Chocolate, Mbegu za boga, Soya,Karoti, Ndizi mbivu n.k.

Vyakula hivi unaweza kula katika namna ya kuimarisha na kuboresha afya yako,lakini unaweza ukala katika namna ya kuimarisha hamu ya tendo la ndoa(Libido). Kwa leo tutaelezea juisi ya tende na tikiti maji.
Kwa mfano Juisi ya Tende hii ina matokeo ya haraka kama tatizo lako siyo sugu.

JUISI YA TENDE
Chukua tende kiasi kama robo kilo zitoe kokwa ,weka kwenye blenda,tia maziwa fresh kidogo zisage,na utaongeza maziwa kadri uzito wa juisi utakaohitaji na usitie sukari.
Juisi hii unaweza ukaongeza na unga wa habat sawda, unga wa tangawizi na unga wa karanga au soya kiasi kama kijiko cha chai.

Na kama hauna blenda basi kunywa maziwa fresh na tende,na unaweza ukaongeza na karanga mbichi na kipande cha tangawizi au ukatia unga wa tangawizi katika maziwa ya moto pamoja na Habat sawda ya unga na ukaweka asali.
Pia katika juisi ya tende unaweza ukaweka na asali kidogo.

Na unaweza ukatengeneza mchanganyiko wa Asali,Habat sawda,Tangawizi ya unga,Mdalasini ya unga, Kitunguu sawm (Garlic paste) ukawa unatumia kama jam au ukala vijiko viwili asubuhi na jioni huku ukitafunia na karanga au korosho au Brown bread.

JUISI YA TIKITI MAJI.
Andaa juisi ya tikiti maji bila ya kutoa mbegu, weka jikoni kamulia Limao kidogo na ikianza tu kuchemka itoe jikoni,kunywa.

Hivi ni baadhi ya vyakula vinavyopatikana katika mazingira yetu.Tujitahidi kuvitumia ili kuoberesha afya zetu.

Monday, April 4, 2016

JE WAIJUA NDIZI.........KITUNGUU SAUMU



Tunda hili la ndizi limebainika kuwa na uwezo wa kukupa wewe nguvu kwa saa moja,has pale unapokwenda kupata chakula cha usiku hasa zile ndizi mbivu,ndizi zimebainikamkuwa zina uwezo wa kukupanguvu za ajabu pale kitandani, PIA TUMIA KITUNGUU SAUMU na huu mmea ukipenda kuutumia unaleta uwezo mkubwa pale kitandani hasa kukuletea hamu ya kupanda ....anza kutumia sasa basi wewe uliyepungukiwa hamu ya kufanya yale mambo.....

KUNA HAJA YA KULIANGALIA KWA NAMNA NYINGINE HILI







Wakati rais wetu ndugu Dr john pombe magufuri akijitahidi kkukusanya pesa kwenye idara ya uchumi, ni jambo jema sana kwa hili jambo na ni furaha iliyoje kuona kuwa uhimizwaji wake wa kila mtukudai risiti pale unaponunua bidhaa,lakini jambo ambalo linanipa wasiwasi ni pale maduka mengi huku mikoani hasa maeneo ya wilayani matumizi ya hizi mashine za EFD hakuna kabisa, unakuta mtu ana duka lacement lenye ukubwa wa hadi mil 10-20 lakini ukinunua hata mifuko miwili unaandikiwa risiti ya karatasi, suala je nani ataamini hizi risiti kuwa ndo halali?
Serikali ya awamu ya nne iliimiza sana matumizi ya mashine hizi za TRA kuwa ndio mworobaini kwa wakwepaji wa kodi, je serikali inalitambua hili,katika wilaya yangu ninayotoka nimewahi kuiona duka moja tu, linatumia mashine hizi, ninaweza kusema matumizi ya mashine hizi ni 12% tu basi muhamie wilayani kukagua kuliko kuangalia makao makuu za wilaya.

Tuesday, March 29, 2016

ANZA KUPENDA PILIPILI SASA


 Daktari David Heber, Profesa wa Chakula na Lishe nchini Uingereza anasema asilimia 80 ya pilipili kali zote zina kemikali iitwayo "Capsaicin" ambayo ina asili ya kuondoa sumu mwilini. Kemikali hii ndiyo huifanya pilipili kuwa kali.

Pilipili ina uwezo wa kupambana na saratani, utafiti uliofanywa na jopo la madaktari na kuchapishwa kwenye jarida la utafiti wa Saratani unaeleza kuwa kemikali ya Capsaicin inazifanya seli zisababishazo saratani kufa zenyewe.

Kwa mwenye uwezo wa kuila au kupunguza makali yake kwa kiasi fulani anaweza kuitumia kama dawa ya "kipanda uso" na kuondoa mkusanyiko wa makohozi kooni au puani.

Kemikali ya Capsaicin inasaidia kuchoma kalori mwilini hivyo kusaidia kupunguza mafuta ya ziada mwilini, Dawa nyingi za kupunguza unene huchanganywa na kemikali hii inayopatikana katika pilipili.
Pilipili pia imetibitika kuongeza hamu ya ndendo la ndoa kwa kuzalisha vichocheo zaidi.

Monday, March 28, 2016

JE WAJUA?

Wajua kuwa maji huweza kuboresha maisha yako ya ndoa? utafiti unaonyesha kuwa unywaji wa majimengi huwezesha kuimalisha mishipa ya mwili wako hasa ile ya uume,tumia maji mengi kila siku ili uweze kuwa imara pale kitandani

FAIDA ZA ALOVELA

Faida za mmea wa aloe vera au mshubiri BY FADHILI · 09/04/2015 Mshubiri ni mmea wenye Miujiza ya kutibu maradhi sugu kama ugonjwa wa Saratani (Cancer), ugonjwa wa Kisukari, kolesto, ugonjwa wa kuvimba sehemu ya mwili na magonjwa mengine mengi. faida ya mu aloe vera au mshubiri Mshubiri Faida za mmea wa aloe vera au mshubiri 1. Huondoa uvimbe katika jicho Weka kiasi kidogo cha majimaji ya mu-aloe vera freshi kisha kuamka asubuhi, acha kwa dakika kadhaa kisha jisafishe. Uvimbe lazima ukimbie. Pia unaweza kuloweka pamba katika majimaji ya mualoe vera na kisha jisafishe katika jicho lenye uvimbe. 2. Huzuia na kuondoa michirizi ya tumbo itokanayo na ujauzito Anza kwa kupakaa majimaji ya mualoevera juu ya tumbo lako na ufanye kama masaji hivi taratibu juu ya tumbo mara 2 kwa siku katika kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua kwa miezi michache mpaka michirizi ipotee yote. 3. Hutibu bawasiri Ile ile sifa moja iliyonayo ya kutibu uvimbe ambayo inaweza pia kutibu malengelenge na uvimbeuchungu kwenye mwako wa mwili, ndiyo hiyo hiyo pia husaidia kutibu au kupunguza maumivu ya bawasiri. Chana tawi la aloe vera freshi na upate jeli yake, kisha pakaa eneo linalosumbuliwa na bawasiri mara mbili mpaka tatu kwa siku kwa wiki kadhaa hasa kama bawasiri imejitokeza sehemu ya nje hadi hapo uvimbe huo utakapopotea. 4. Ni tiba kwa matatizo ya tumbo Kama utainywa, hutibu vidonda vya tumbo na kiungulia, na kwa ujumla ni kuwa husafisha mfumo wote wa mmeng’enyo wa chakula. Chukua jeli ya aloe vera nusu kikombe (ml 125) changanya na maji ya kawaida nusu kikombe tena kupata ujazo wa robo lita, changanya vizuri mchanganyiko huu na unywe kutwa mara 2 kwa siku 3 hadi wiki 1 kujitibu matatizo ya tumbo kama kuum, kuondoa sumu, kuunguruma, kuhara na hata kutibu malaria. Madhara ambayo yameripotiwa kutokana na kunywa aloe vera ikiwa freshi ndani ya tumbo ni pamoja na kuharisha na matatizo kwenye figo. Faida za mmea wa aloe vera au Mshubiri Mshubiri 5. Huziimarisha kucha dhaifu Kwa taratibu pakaa majimaji ya aloe vera juu ya kucha zako sehemu zote juu na chini kila siku na uzitazame baada ya siku kadhaa uone zitakavyokuwa zimerudisha ule uzuri na ugumu wake wa mwanzo. 6. Huondoa Makeup Kwa usalama kabisa huondoa makeup kwenye jicho na ni nzuri kwa ngozi laini inayozunguka jicho lako. 7. Husafisha ngozi na kuondoa alama zitokanazo na kuungua na jua Chunusi, ukurutu na kuungua kwa ngozi kutokana na jua vyote hivi vinatibika kirahisi kwa kutumia aloe-vera. Pakaa mara 2 hadi 3 kwa siku katika ngozi mpaka uone umepona kabisa. Mu-aloe vera pia una sifa ya kupoza kama ilivyo menthol ambayo unaufanya Mu-aloe vera kuwa dawa ya asili nzuri zaidi katika kutibu alama zitokanazo na kuungua na jua. 8. Ni jeli ya asili ya kunyolea na baada ya kunyoa Aloe Vera ni dawa ya asili katika kutibu michubuko asante kwa vimeng’enya vyake ambavyo huwa na kiasi kingi cha maji ambayo ni mhimu kuzuia kukauka kwa ngozi. Wakati unanyoa ndevu pakaa jeli ya aloe vera na hata baada ya kunyoa pakaa kama after shave jel kuzuia na kuponya michubuko itokanayo na kunyoa. 9. Huondoa makunyanzi na mikunjo ya ngozi Ngozi hupenda sana Vitamini C na E ambazo zote zinapatikana katika aloe vera na kusaidia kuboresha unene wa ngozi na kuiacha katika hali ya umajimaji. Ikiwa utachanganya jeli ya aloe-vera na mafuta ya asili ya nazi utapata krimu nzuri ya kuongezea viinilishe, mafuta mhimu na unyevunyevu katika ngozi. Jeli ya Aloe Vera hupenyeza katika ngozi kwa haraka mara nne zaidi ya maji ya kawaida na sifa yake ya kulainisha ngozi husaidia ngozi kubaki na unyevunyevu muda wote. 10. Hutibu homa na mafua Jeli ya Aloe Vera huongeza kinga ya mwili. Mu-aloe-vera una viinilishe vingi sana mhimu kwa afya ya binadamu. Ina Vitamini A, B, C, na E. Mmea huu una orodha ndefu ya madini mhimu kwa mwili na vimeng’enya vingine mhimu. 11. Vitamini B12 kwa wale wasiotumia nyama (Vegans) Matumizi makuu ya aloe vera kimatibabu ni kusaidia na kuboresha uundwaji wa bakteria wazuri. Kwa kuongezea aloe vera huwa na jumla ya madini ambayo bakteria huyahitaji katika kutengeneza Vitamini B12. 12. Huongeza nguvu mwilini Matumizi mengine ya kitabibu ya mmea wa mu aloe vera au mshubiri kwa kiswahili chake hasa, ni kuongeza usawa wa nguvu mwilini. Hii ni kutokana na uwepo wa vitamin b 14 na viinilishe vingine ambavyo husaidia kubadili asilimia kubwa ya chakula katika tumbo lako na kuunda nguvu. 13. Huondoa mba kichwani Changanya jeli ya asili ya aloe vera na shampoo yako, dakika chache kabla ya kwenda kulala pakaa vizuri mchanganyiko huo kwenye nywele zako na uache zikauke kidogo na usafishe nywele zako asubuhi. faida za mu aloe vera au mshubiri Mshubiri 14. Huondoa maumivu wakati wa hedhi Changanya jeli ya Aloe vera na pilipili manga ya unga kidooogo, meza kijiko cha chakula kimoja mara tatu kwa siku kila siku hadi maumivu yatakapoacha. 15. Hulainisha nywele Jeli ya Aloe vera ni nzuri katika kutibu tatizo la nywele kujisokota na ni mbadala mzuri kwa bidhaa nyingi za madukani zenye gharama kwa ajili ya nywele. 16. Ni dawa ya asili ya kusafishia mdomo Changanya jeli ya aloe-vera ml 100, vijiko 3 vya chai vya baking soda, maji ml 100 na kijiko 1 kidogo cha juisi ya limao. Changanya vizuri vyote kwa pamoja na utumie kama dawa yako ya asili ya kusafishia mdomo. 17. Hutibu matatizo katika mmeng’enyo wa chakula Juisi ya Aloe vera ni nzuri sana katika kurekebisha matatizo katika mmeng’enyo wa chakula, hurekebisha kuvurugika kwa tumbo na kiungulia. Itumie kama ilivyoelezewa kwenye kutibu matatizo ya tumbo hapo juu namba 4. 18. Hushusha lehemu (Cholesterol) Tafiti zimeonyesha kuwa kunywa juisi ya aloe vera kwa kipindi kirefu kunaweza kushusha kiwango cha lehemu mwilini. Itumie kama ilivyoelezewa kwenye kutibu matatizo ya tumbo hapo juu namba 4. 19. Hutibu chunusi Aloe Vera huondoa chunusi kwa kuziondoa seli zilizokufa katika ngozi na hivyo kuvifungua vishimo katika ngozi na kuondoa mafuta yaliyoganda katika hivyo vishimo. Pakaa jeli ya aloe vera moja kwa moja katika eneo lililoathirika na chunusi. Pia makovu yaliyoachwa kutokana na chunusi yanaweza kuondolewa kwa kupakaa jeli ya aloe vera pekee. 20. Hutibu ukurutu na upele Ukurutu ambao ni matokeo ya juu ya tetekuwanga kwa kawaida hutokea kwa watu wazima wenye kinga ya mwili pungufu. Aloe Vera inaweza kutumika kutibu tetekuwanga zinazosababishwa na kirusi aina ya herpes virus. Kwa kupakaa jeli ya aloe vera moja kwa moja kwenye sehemu zilizowazi hutanua mishipa ya damu jambo linalosaidia kutibu vidonda. Faida za mu aloe vera au mshubiri Mshubiri 21. Huzuia ngozi kuunguzwa na jua (Sunscreen) Kupakaa jeli ya Aloe Vera katika mwili hulinda ngozi dhidi ya miale yote ya jua kutua moja kwa moja kwenye ngozi na hivyo kukufanya usizeeke mapema, pia ni dawa nzuri kwa ngozi inayofubaa. 22. Hulainisha sehemu kavu za siri Aloe Vera hufanya kazi kama kilainishi bora kabisa cha asili katika maeneo ya siri kwa jinsia zote mbili na kutoa unyevunyevu wa asili. 23. Hutibu vidonda katika mdomo Mu Aloe vera unazo vitamini na asidi amino ambazo husaidia kuzitengeneza upya tishu zilizoharibika. Tafiti zimeonyesha kuwa watu wanaosumbuliwa na vidonda mdomoni waliotumia jeli ya aloe vera walifanikiwa kutibu karibu asilimia 50 haraka zaidi kuliko wale ambao hawakutumia jeli ya aloe vera. 24. Hutibu maambukizi katika uke Unaweza kutibu maambukizi katika uke kwa kupakaa jeli ya aloe vera kwa nje na kwa kuinywa jeli kupata faida yake ya kutibu fangasi. Mililita 120 mpaka 200 za jeli ya aloe vera kila siku zinaweza kusaidia kutibu maambukizi na fangasi katika mwili na ikiwa utaendelea kuinywa kwa muda mrefu kunaweza kuzuia maambukizi zaidi kutokujirudia baadaye. 25. Husaidia wawindaji Wawindaji wa wanyama katika barani Afrika mara kwa mara hupakaa jeli ya aloe vera katika miili ili kupunguza kutokwa jasho na kuondoa harufu yao ya asili katika mwili isisikike na wanyama. 26. Suluhisho kwa watafuna kucha Burashi kucha za mtoto anayependa kutafuna kucha na jeli ya aloe vera, ile radha ya uchungu katika aloe vera kutamfanya aache kuzitafuna kucha zake. 27. Hutumika katika kupunguza uzito Watafiti wameweza kugundua kuwa kunywa juisi ya aloe vera husaidia kupunguza sukari kwenye damu jambo mhimu kwa wale wenye kisukari cha aina ya pili. Wanasayansi wanaamini kuwa kuweka kiwango cha sukari chini hupunguza uzito. 28. Hutibu upungufu wa damu (Anemia) Kunywa jeli ya aloe vera kunasaidia uzalishaji zaidi wa seli nyekundu za damu katika mwili wako na hivyo kutibu tatizo la kupungua kwa damu. 29. Huondoa maumivu ya mishipa Kutokana na sifa yake ya kutibu uvimbe, unaweza kutibu uvimbechungu (inflammation) katika maungio yanayopelekea maumivu katika mishipa kwa kupakaa jeli ya aloe vera katika eneo unalosikia maumivu. 30. Hutibu maumivu katika sikio Matone kadhaa ya aloe vera yakinyunyizwa sikioni yanaweza kuleta nafuu kubwa kama unapatwa na maumivu katika masikio. Hii ni nzuri pia kwa masikio yanayotoa usaha na maumivu mengine katika masikio

Wednesday, November 27, 2013

2flag: AINA MBALIMBALI ZA JUISI NA KAZI ZAKE MWILINI

2flag: AINA MBALIMBALI ZA JUISI NA KAZI ZAKE MWILINI

Thursday, November 7, 2013

mpotwahadis: LAKINI ‘G-SPOTS’ ZIKO NGAPI, WAPI NA KWA KWELI NI ...

mpotwahadis: LAKINI ‘G-SPOTS’ ZIKO NGAPI, WAPI NA KWA KWELI NI ...: Sio rahisi kujibu swali hili kwa maandishi, bali niseme tu hapa kuwa ziko nyingi. Ile G-Spot inayofahamika sana ni ile iliyoko ndani ya uke...

Wednesday, July 10, 2013

VIJIMAMBO: SUMU 10 ZINAZOWEZA KUKUWEKA NJIAPANDA KATIKA MAPEN...

VIJIMAMBO: SUMU 10 ZINAZOWEZA KUKUWEKA NJIAPANDA KATIKA MAPEN...: Daima Mungu ataendelea kuwa juu ya kila kitu kwenye Sayari ya Dunia na nyingine zote, kwani yeye ndiye muweza wa yote. Utukufu wake ndiyo ...

Tuesday, June 18, 2013

Udaku Specially: Ukweli usemwe:Wanaume wanaposhindwa kuwajibika kat...

Udaku Specially: Ukweli usemwe:Wanaume wanaposhindwa kuwajibika kat...: Malezi bora na timamu, yanapaswa kuwashirikisha wazazi wote wawili, yaani baba na mama. Wazazi hawa wanaposhirikiana katika kuwapa watot...

Udaku Specially: NINI MAANA YA SHANGA KIUNONI NA MAANA YAKE?

Udaku Specially: NINI MAANA YA SHANGA KIUNONI NA MAANA YAKE?: Jamani me sielewagi nini maana ya shanga kiunoni na kazi zake haswa ila naskiaga ina shughuli yake maalum na pia inakuwaje mpaka watoto w...